Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 34:35-37 Biblia Habari Njema (BHN)

35. ‘Yobu anaongea bila kutumia akili,maneno yake hayana maana.’

36. Laiti Yobu angechunguzwa mpaka mwisho,kwa maana anajibu kama watu waovu.

37. Huongeza uasi juu ya dhambi zake;anaeneza mashaka kati yetu,na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”

Kusoma sura kamili Yobu 34