33. Je, Mungu atapaswa kumwadhibu kama uonavyo wewe?Wewe ndiwe unayeamua, sio mimi.Basi, sema unachofikiri wewe.
34. Mtu yeyote mwenye akili,na kila mwenye hekima anayenisikiliza atasema:
35. ‘Yobu anaongea bila kutumia akili,maneno yake hayana maana.’
36. Laiti Yobu angechunguzwa mpaka mwisho,kwa maana anajibu kama watu waovu.
37. Huongeza uasi juu ya dhambi zake;anaeneza mashaka kati yetu,na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”