Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 34:33-37 Biblia Habari Njema (BHN)

33. Je, Mungu atapaswa kumwadhibu kama uonavyo wewe?Wewe ndiwe unayeamua, sio mimi.Basi, sema unachofikiri wewe.

34. Mtu yeyote mwenye akili,na kila mwenye hekima anayenisikiliza atasema:

35. ‘Yobu anaongea bila kutumia akili,maneno yake hayana maana.’

36. Laiti Yobu angechunguzwa mpaka mwisho,kwa maana anajibu kama watu waovu.

37. Huongeza uasi juu ya dhambi zake;anaeneza mashaka kati yetu,na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”

Kusoma sura kamili Yobu 34