Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 34:26-31 Biblia Habari Njema (BHN)

26. Huwachapa hadharani kwa ajili ya uovu wao,

27. kwa sababu wameacha kumfuata yeye,wakazipuuza njia zake zote.

28. Hata wakasababisha kilio cha maskini kimfikie Mungu,Mungu akasikiliza kilio chao hao walioteswa.

29. Kama Mungu akinyamaza, nani awezaye kumlaumu?Kama akificha uso wake, nani awezaye kumwona,

30. liwe ni taifa au mtu mmojammoja?Hufanya hivyo, mtu mbaya asitawale,au wale wahatarishao maisha ya watu.

31. “Tuseme mtu amemwambia Mungu,‘Nimekosa, sitatenda dhambi tena.

Kusoma sura kamili Yobu 34