Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 34:20-22 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Kufumba na kufumbua hao wamekufa;hutikiswa usiku na kuaga dunia;nao wenye nguvu hufutiliwa mbali bila kutumia nguvu za mtu.

21. “Macho ya Mungu huchunguza mienendo ya watu;yeye huziona hatua zao zote.

22. Hakuna weusi wala giza neneambamo watenda maovu waweza kujificha.

Kusoma sura kamili Yobu 34