Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 33:31-33 Biblia Habari Njema (BHN)

31. Sikia Yobu, nisikilize kwa makini;kaa kimya, nami nitasema.

32. Kama una la kusema, nijibu;sema, maana nataka kukuona huna hatia.

33. La sivyo, nyamaza unisikilize,kaa kimya nami nikufunze hekima.”

Kusoma sura kamili Yobu 33