Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 33:29-33 Biblia Habari Njema (BHN)

29. “Tazama Mungu humfanyia binadamu haya yote,tena mara mbili, mara tatu.

30. Humwokoa binadamu asiangamie Shimoni,aweze kuona mwanga wa maisha.

31. Sikia Yobu, nisikilize kwa makini;kaa kimya, nami nitasema.

32. Kama una la kusema, nijibu;sema, maana nataka kukuona huna hatia.

33. La sivyo, nyamaza unisikilize,kaa kimya nami nikufunze hekima.”

Kusoma sura kamili Yobu 33