29. “Tazama Mungu humfanyia binadamu haya yote,tena mara mbili, mara tatu.
30. Humwokoa binadamu asiangamie Shimoni,aweze kuona mwanga wa maisha.
31. Sikia Yobu, nisikilize kwa makini;kaa kimya, nami nitasema.
32. Kama una la kusema, nijibu;sema, maana nataka kukuona huna hatia.
33. La sivyo, nyamaza unisikilize,kaa kimya nami nikufunze hekima.”