Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 33:17-19 Biblia Habari Njema (BHN)

17. wapate kuachana na matendo yao mabaya,na kuvunjilia mbali kiburi chao.

18. Hivyo humkinga mtu asiangamie shimoni,maisha yake yasiangamie kwa upanga.

19. “Mungu humrudi mtu kwa maumivu yamwekayo kitandani,maumivu hushika viungo vyake bila kukoma;

Kusoma sura kamili Yobu 33