Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 33:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. “Sasa, Yobu, sikiliza hoja yangu;sikiliza maneno yangu yote.

2. Tazama, nafumbua kinywa changu,naam, ulimi wangu utasema.

3. Nitasema kadiri ya unyofu wa moyo wangu;ninayoyajua nitayasema kwa uaminifu.

4. Roho ya Mungu iliniumba,nayo pumzi ya Mungu Mwenye Nguvu yanipa uhai.

Kusoma sura kamili Yobu 33