Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 32:19-22 Biblia Habari Njema (BHN)

19. Moyo wangu umefurika kama divai iliyozibwa,kama kiriba cha divai mpya tayari kupasuka.

20. Ni lazima niseme ili nipate nafuu;yanipasa kufungua kinywa changu na kujibu.

21. Sitampendelea mtu yeyotewala kutumia maneno ya kubembeleza mtu.

22. Maana mimi sijui kubembeleza mtu,la sivyo, Muumba wangu angeniangamiza.

Kusoma sura kamili Yobu 32