Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 32:12-15 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Niliwasikiliza kwa makini sana,lakini hakuna mmoja wenu aliyemshinda Yobu;nyote mlishindwa kuyajibu maneno yake.

13. Jihadharini msije mkasema, ‘Sasa tumepata hekima.Atakayemshinda ni Mungu, sio binadamu.’

14. Maneno ya Yobu hayakuwa kwa ajili yangu,kwa hiyo sitamjibu kama mlivyomjibu nyinyi.

15. “Nyinyi mmeduwaa; mmeshindwa,nyinyi hamna cha kusema zaidi.

Kusoma sura kamili Yobu 32