Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 30:24-26 Biblia Habari Njema (BHN)

24. “Je, mtu akikumbwa na maangamizi hainui mkono?Je, mtu akiwa taabuni haombi msaada

25. Je, sikuwalilia wale waliokuwa na taabu?Je, sikuona uchungu kwa ajili ya maskini?

26. Lakini nilipotazamia mema, mabaya yalinipata,nilipongojea mwanga, giza lilikuja.

Kusoma sura kamili Yobu 30