24. “Je, mtu akikumbwa na maangamizi hainui mkono?Je, mtu akiwa taabuni haombi msaada
25. Je, sikuwalilia wale waliokuwa na taabu?Je, sikuona uchungu kwa ajili ya maskini?
26. Lakini nilipotazamia mema, mabaya yalinipata,nilipongojea mwanga, giza lilikuja.