Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 26:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha Yobu akajibu:

2. “Aa! Jinsi gani ulivyomsaidia asiye na uwezo!Jinsi gani ulivyomwokoa asiye na nguvu!

3. Jinsi gani ulivyomshauri asiye na hekima,na kumshirikisha ujuzi wako!

4. Lakini umetamka hayo kwa ajili ya nani?Nani aliyekusukuma kuongea hivyo?”Bildadi akajibu:

Kusoma sura kamili Yobu 26