Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 23:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha Yobu akajibu:

2. “Leo pia lalamiko langu ni chungu.Napata maumivu na kusononeka.

3. Laiti ningejua mahali nitakapompata Mungu!Ningeweza kwenda hata karibu naye.

4. Ningeleta kesi yangu mbele yake,na kumtolea hoja yangu.

Kusoma sura kamili Yobu 23