27. utamwomba naye atakusikiliza,nawe utazitimiza nadhiri zako.
28. Chochote utakachoamua kitafanikiwa,na mwanga utaziangazia njia zako.
29. Maana, Mungu huwaporomosha wenye majivuno,lakini huwaokoa wanyenyekevu.
30. Yeye humwokoa mtu asiye na hatia;wewe utaokolewa kwa matendo yako mema.”