Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 20:27-29 Biblia Habari Njema (BHN)

27. Mbingu zitaufichua uovu wake,dunia itajitokeza kumshutumu.

28. Mali zake zitanyakuliwakatika siku ya ghadhabu ya Mungu.

29. Hicho ndicho apewacho mtu mwovu kutoka kwa Mungu,ndicho mwovu alichopangiwa na Mungu.”

Kusoma sura kamili Yobu 20