Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 20:24-29 Biblia Habari Njema (BHN)

24. Labda ataweza kuepa upanga wa chuma,kumbe atachomwa na upanga wa shaba.

25. Mshale utachomolewa kutoka mwilini mwake;ncha yake itatolewa mgongoni mwake ikingaa,vitisho vya kifo vitamvamia.

26. Hazina zake zitaharibiwa,moto wa ajabu utamteketeza;kilichobaki nyumbani mwake kitateketezwa.

27. Mbingu zitaufichua uovu wake,dunia itajitokeza kumshutumu.

28. Mali zake zitanyakuliwakatika siku ya ghadhabu ya Mungu.

29. Hicho ndicho apewacho mtu mwovu kutoka kwa Mungu,ndicho mwovu alichopangiwa na Mungu.”

Kusoma sura kamili Yobu 20