20. “Kwa vile ulafi wake hauna mwisho,hataweza kuokoa chochote anachothamini.
21. Baada ya kula hakuacha hata makombo,kwa hiyo fanaka yake yote haitadumu.
22. Kileleni mwa fanaka dhiki itamvamia,balaa itamkumba kwa nguvu zote.
23. Akiwa anajishughulisha kushibisha tumbo,Mungu atamletea ghadhabu yakeimtiririkie kama chakula chake.