26. Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivyo,nitamwona Mungu kwa macho yangu mwenyewe.
27. Mimi mwenyewe nitakutana naye;mimi mwenyewe na si mwingine nitamwona kwa macho.
28. “Nyinyi mwaweza kujisemea:‘Tutamfuatia namna gani?
29. Tutapataje kwake kisa cha kumshtaki?’Lakini tahadharini na adhabu.Chuki yenu yaweza kuwaletea kifo!Mnapaswa kujua: Mungu peke yake ndiye hakimu.”