Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 19:26-29 Biblia Habari Njema (BHN)

26. Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivyo,nitamwona Mungu kwa macho yangu mwenyewe.

27. Mimi mwenyewe nitakutana naye;mimi mwenyewe na si mwingine nitamwona kwa macho.

28. “Nyinyi mwaweza kujisemea:‘Tutamfuatia namna gani?

29. Tutapataje kwake kisa cha kumshtaki?’Lakini tahadharini na adhabu.Chuki yenu yaweza kuwaletea kifo!Mnapaswa kujua: Mungu peke yake ndiye hakimu.”

Kusoma sura kamili Yobu 19