Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 19:25-29 Biblia Habari Njema (BHN)

25. Najua wazi Mkombozi wangu anaishi,mwishowe yeye atanipa haki yangu hapahapa duniani.

26. Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivyo,nitamwona Mungu kwa macho yangu mwenyewe.

27. Mimi mwenyewe nitakutana naye;mimi mwenyewe na si mwingine nitamwona kwa macho.

28. “Nyinyi mwaweza kujisemea:‘Tutamfuatia namna gani?

29. Tutapataje kwake kisa cha kumshtaki?’Lakini tahadharini na adhabu.Chuki yenu yaweza kuwaletea kifo!Mnapaswa kujua: Mungu peke yake ndiye hakimu.”

Kusoma sura kamili Yobu 19