13. Kwa vile Kuzimu ndio nyumba yangu,na makao yangu yamo humo gizani;
14. kama naliita kaburi ‘baba yangu’na buu, ‘mama yangu’ au ‘dada yangu’,
15. je, nimebakiwa na tumaini gani?Ni nani awezaye kuona tumaini hilo?
16. Tazamio langu litashuka nami kuzimu!Tutateremka sote wawili hadi huko mavumbini!”