7. Je, wewe ni mtu wa kwanza kuzaliwa?Je, wewe ulizaliwa kabla ya kuweko vilima?
8. Je, ulipata kuweko katika halmashauri ya Mungu?au, wewe ndiwe peke yako mwenye hekima?
9. Unajua kitu gani tusichokijua sisi?Unafahamu kitu gani tusichokifahamu sisi?
10. Miongoni mwetu wapo wazee wenye hekima,wenye miaka mingi kuliko baba yako.
11. Je, faraja anazokupa Mungu ni ndogo mno?Au je, neno lake la upole kwako si kitu?
12. Mbona moyo unakusukuma kukasirikana kutoa macho makali,