Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 15:34-35 Biblia Habari Njema (BHN)

34. Wote wasiomcha Mungu hawatapata watoto,moto utateketeza mahema ya wala rushwa.

35. Wanatunga udanganyifu na kuzaa uovu.Mioyo yao hupanga udanganyifu.”

Kusoma sura kamili Yobu 15