Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 15:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha Elifazi, Mtemani, akajibu:

2. “Je, mtu wa hekima hujibu kwa maneno ya upuuzi?Je, mtu huyo amejaa maneno matupu?

3. Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa,au kwa maneno yasiyo na maana?

4. Lakini wewe unapuuza uchaji wa Mungu;na kuzuia kutafakari mbele ya Mungu.

Kusoma sura kamili Yobu 15