2. Huchanua kama ua, kisha hunyauka.Hukimbia kama kivuli na kutoweka.
3. Ee Mungu, kwa nini unajali hata kumwangaliana kuanza kuhojiana naye?
4. Nani awezaye kutoa kitu kisafi kutoka kitu kichafu?Hakuna anayeweza.
5. Siku za kuishi binadamu zimepimwa;ee, Mungu umeipanga idadi ya miezi yake;hawezi kupita kikomo ulichomwekea.