Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 14:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. “Mtu ni mtoto tu wa mwanamke;huishi siku chache tena zilizojaa taabu.

2. Huchanua kama ua, kisha hunyauka.Hukimbia kama kivuli na kutoweka.

3. Ee Mungu, kwa nini unajali hata kumwangaliana kuanza kuhojiana naye?

Kusoma sura kamili Yobu 14