Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 1:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila baada ya karamu, Yobu aliwaita wanawe ili awatakase. Aliamka asubuhi na mapema baada ya karamu, akatoa tambiko za kuteketezwa kwa ajili ya kila mmoja wao kwani aliwaza, “Huenda wanangu wametenda dhambi na kumtukana Mungu mioyoni mwao.”

Kusoma sura kamili Yobu 1

Mtazamo Yobu 1:5 katika mazingira