Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 52:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, sehemu ya ukuta wa mji ilibomolewa, nao askari walikimbia wakatoka nje ya mji wakati wa usiku wakipitia njia ya lango katikati ya kuta mbili, kwenye bustani ya mfalme, wakaenda upande wa Araba, ingawa Wakaldayo walikuwa wameuzunguka mji wote. Waisraeli walikimbia kuelekea bonde la mto Yordani.

Kusoma sura kamili Yeremia 52

Mtazamo Yeremia 52:7 katika mazingira