Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 52:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakaldayo walivunja vipandevipande nguzo za shaba nyeusi ambazo zilikuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu pamoja na vikalio na birika kubwa la shaba nyeusi lililokuwamo katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, wakaichukua shaba nyeusi yote mpaka Babuloni.

Kusoma sura kamili Yeremia 52

Mtazamo Yeremia 52:17 katika mazingira