Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 51:62 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha umalizie na maneno haya: ‘Ee Mwenyezi-Mungu, wewe umesema kwamba utapaharibu mahali hapa hata pasikaliwe na kiumbe chochote, mwanadamu au mnyama, na kwamba nchi hii itakuwa jangwa milele.’

Kusoma sura kamili Yeremia 51

Mtazamo Yeremia 51:62 katika mazingira