Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 51:58 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mimi Mwenyezi-Mungu wa Majeshi nasema:Ukuta mpana wa Babuloniutabomolewa mpaka chini,na malango yake marefuyatateketezwa kwa moto.Watu wanafanya juhudi za bure,mataifa yanajichosha maana mwisho wao ni motoni!”

Kusoma sura kamili Yeremia 51

Mtazamo Yeremia 51:58 katika mazingira