Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 50:40 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama vile mimi Mwenyezi-Mungu nilivyoiangamiza miji ya Sodoma na Gomora na miji ya jirani, vivyo hivyo hapatakuwa na mtu yeyote atakayeishi humo. Naam, hakuna mtu yeyote atakeyekaa huko. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Yeremia 50

Mtazamo Yeremia 50:40 katika mazingira