Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 50:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: “Watu wa Israeli wanakandamizwa; hali kadhalika na watu wa Yuda. Wale waliowachukua mateka wamewabana sana na wanakataa kuwaachia.

Kusoma sura kamili Yeremia 50

Mtazamo Yeremia 50:33 katika mazingira