Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 5:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu anauliza:“Nitawezaje kukusamehe ee Yerusalemu?Watu wako wameniasi;wameapa kwa miungu ya uongo.Nilipowashibisha kwa chakula,wao walifanya uzinzi,wakajumuika majumbani mwa makahaba.

Kusoma sura kamili Yeremia 5

Mtazamo Yeremia 5:7 katika mazingira