Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 49:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitawafadhaisha watu wa Elamu mbele ya maadui zao na mbele ya wale wanaotaka kuyaangamiza maisha yao. Nitawaletea maafa na hasira yangu kali. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Nitawaletea upanga kuwafuata mpaka niwaangamize kabisa.

Kusoma sura kamili Yeremia 49

Mtazamo Yeremia 49:37 katika mazingira