Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 49:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kuhusu Waamoni.Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Je, Israeli hana watoto?Je, hana warithi?Mbona basi mungu Milkomu amemiliki Gadina watu wake kufanya makao yao mijini mwake?

2. Basi, wakati unakuja kweli, siku zaja,nasema mimi Mwenyezi-Mungu,ambapo nitavumisha sauti ya vitadhidi ya Raba mji wa Waamoni.Raba utakuwa rundo la uharibifu,vijiji vyake vitateketezwa moto;ndipo Israeli atakapowamiliki wale waliomiliki.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

3. “Ombolezeni, enyi watu wa Heshboni,maana mji wa Ai umeharibiwa!Lieni enyi binti za Raba!Jifungeni mavazi ya gunia viunoniombolezeni na kukimbia huko na huko uani!Maana mungu Milkomu atapelekwa uhamishoni,pamoja na makuhani wake na watumishi wake.

Kusoma sura kamili Yeremia 49