Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 46:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo ni siku ya Mwenyezi-Mungu wa majeshi,ni siku ya kulipiza kisasi;naam, siku ya kuwaadhibu maadui zake.Upanga utawamaliza hao na kutosheka,utainywa damu yao na kushiba.Maana Mwenyezi-Mungu wa majeshi anayo kafarahuko kaskazini karibu na mto Eufrate.

Kusoma sura kamili Yeremia 46

Mtazamo Yeremia 46:10 katika mazingira