Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 45:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Haya ndiyo maneno aliyotamka nabii Yeremia mnamo mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia naye Baruku mwana wa Neria akawa anayaandika kitabuni.Yeremia alimwambia Baruku:

Kusoma sura kamili Yeremia 45

Mtazamo Yeremia 45:1 katika mazingira