Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 44:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa nini mnanichochea nikasirike kwa kuabudu sanamu mlizojitengenezea wenyewe na kuifukizia ubani miungu mingine katika nchi ya Misri ambamo mmekuja kuishi? Je, mwataka kutokomezwa na kuwa laana na dhihaka mbele ya mataifa yote duniani?

Kusoma sura kamili Yeremia 44

Mtazamo Yeremia 44:8 katika mazingira