Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 44:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitamtia Farao Hofra mfalme wa Misri, mikononi mwa madui zake, mikononi mwa wale wanaotaka kumwua, kama vile nilivyomtia Sedekia mfalme wa Yuda, mikononi mwa adui yake yaani Nebukadneza, mfalme wa Babuloni, ambaye alitaka kumwua. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Kusoma sura kamili Yeremia 44

Mtazamo Yeremia 44:30 katika mazingira