Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 44:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini sikilizeni neno langu mimi Mwenyezi-Mungu, enyi watu wote wa Yuda mnaokaa nchini Misri. Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Naapa kwa jina langu kuu kwamba hakuna mtu yeyote wa Yuda katika nchi yote ya Misri atakayelitumia jina langu kuapa nalo akisema: ‘Kama aishivyo Bwana Mwenyezi-Mungu!’

Kusoma sura kamili Yeremia 44

Mtazamo Yeremia 44:26 katika mazingira