Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 44:21 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kuhusu matambiko ambayo nyinyi na wazee wenu, wafalme wenu na viongozi wenu, pamoja na wananchi wote, mlifanya katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu, je, mnadhani Mwenyezi-Mungu amesahau au hakumbuki?

Kusoma sura kamili Yeremia 44

Mtazamo Yeremia 44:21 katika mazingira