Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 44:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitawaondoa watu wa Yuda waliosalia ambao wamepania kwenda kukaa Misri, na kuwaangamiza wote, wakubwa kwa wadogo; watakufa kwa upanga au kwa njaa. Watakuwa takataka, kitisho, laana na dhihaka.

Kusoma sura kamili Yeremia 44

Mtazamo Yeremia 44:12 katika mazingira