Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 41:5 Biblia Habari Njema (BHN)

kabla hata mtu yeyote hajajua habari hizo, walifika watu themanini kutoka Shekemu, Shilo na Samaria. Walikuwa wamenyoa ndevu zao na wamevaa mavazi yaliyotatuka na miili yao imechanjwachanjwa. Walileta tambiko za nafaka na ubani zitolewe hekaluni kwa Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Yeremia 41

Mtazamo Yeremia 41:5 katika mazingira