Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 40:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Gedalia aliapa mbele yao na mbele ya majeshi yao akisema: “Msiogope kuwatumikia Wakaldayo. Kaeni nchini mumtumikie mfalme wa Babuloni, na mambo yote yatawaendea vema.

Kusoma sura kamili Yeremia 40

Mtazamo Yeremia 40:9 katika mazingira