Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 40:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu wakati Nebuzaradani kapteni wa walinzi wa mfalme, alipomruhusu Yeremia aondoke Rama. Huyo kapteni alimchukua Yeremia amefungwa minyororo, akawachukua pia pamoja naye mateka wengine wote wa Yerusalemu na Yuda ambao walikuwa wamepelekwa uhamishoni Babuloni.

Kusoma sura kamili Yeremia 40

Mtazamo Yeremia 40:1 katika mazingira