Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 36:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, wakuu walimtuma Yehudi mwana wa Nethania, mjukuu wa Shelemia, kitukuu cha Kushi, amwambie Baruku hivi: “Chukua ile hati ya maandishi uliyosoma mbele ya watu uje nayo hapa.” Basi, Baruku mwana wa Neria, akachukua hati mkononi mwake, akawaendea.

Kusoma sura kamili Yeremia 36

Mtazamo Yeremia 36:14 katika mazingira