Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 36:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Baruku alisoma maneno ya Yeremia kutoka katika kile kitabu mbele ya watu wote, ndani ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu, katika chumba cha Gemaria mwana wa Shafani aliyekuwa katibu. Chumba hicho kilikuwa katika ukumbi wa juu, kwenye lango Jipya la nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Yeremia 36

Mtazamo Yeremia 36:10 katika mazingira