Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 34:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Nawe hutatoroka mikononi mwake, bali kwa hakika utatekwa na kupelekwa kwake; utaonana na mfalme wa Babuloni macho kwa macho, na kuongea naye ana kwa ana; kisha, utakwenda Babuloni.

Kusoma sura kamili Yeremia 34

Mtazamo Yeremia 34:3 katika mazingira