Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 33:21 Biblia Habari Njema (BHN)

vivyo hivyo hamwezi kutangua agano langu nililofanya na mtumishi wangu Daudi. Nilifanya agano na Daudi kwamba daima atakuwa na mzawa wa kutawala mahali pake; vilevile kutakuwako daima makuhani wa ukoo wa Lawi watakaonitumikia.

Kusoma sura kamili Yeremia 33

Mtazamo Yeremia 33:21 katika mazingira