Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 33:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika siku hizo, naam, wakati huo, nitachipusha chipukizi mwadilifu wa uzao wa Daudi. Chipukizi huyo atatekeleza haki na uadilifu katika nchi.

Kusoma sura kamili Yeremia 33

Mtazamo Yeremia 33:15 katika mazingira